1 Corinthians 4:11-12

11 aMpaka saa hii tuna njaa na kiu, tu uchi, tumepigwa na hatuna makao. 12 bTunafanya kazi kwa bidii kwa mikono yetu wenyewe. Tunapolaaniwa, tunabariki, tunapoteswa, tunastahimili,
Copyright information for SwhNEN